Hii ni moja ya kazi yangu ya decoration .

Wadau kama mlivyopendakeza kuwa mngepende kuona kazi niliyofanya mwenyewe!!!
Hii ni moja ya kazi niliyofanya mwenyewe walimwenge wanasema mfano mzuri uwanzia nyumbani kwako.


Mimi sio mshabiki sana wa rangi ya Orange ila nilipenda kuweka hii rangi sababu inamvuto wake.Rangi ya Brown inapendeze kuchanganya na Orange na right Cream ,Inatoka Bomba sana kama mnavyo check huo mchanganyiko ktk picha .Kiukweli hii rangi  naikubali, hasa ukiipanga kwenye siting room yako vizuri. wakati wote nyumba yako  itaonekana smart.






                                                                 Dining Room

 






Kwenye wall yako unaweza kuweka picha za familia yako kwa kumbukumbu kama mnavyoziona picha hapo juu .
                                             


    Sehemu ya Jiko  muonekano wake.



Sehemu Ya Bathroom na Toilet 

Upambaji wa nyumba hasa sebule,jikoni,Chooni na vyumbani ni  jambo ambalo kila  Mwanamke na Mwanaume anapenda  kwa ukamilifu.Tatizo linakuja muda wa kufanya hivyo unakuwa hafifu sababu ya shughuli nyingi za ujenzi wa taifa.Kuna njia nzuri ya kukuwezesha kufanya hivyo kwa muda huo kidogo ulionao.Kwanza angalia sehemu ambazo zina hitaji muda mrefu ili ziwe na dhifu, Kwa mfano Jikoni,Chumba cha watoto na Chooni.Panga muda wa dakika 20 kila chumba ambao utatumia kufanya shughuli hii.Aza na eneo moja kwanza hadi umalize ndio uende sehemu nyingine , Weka  nyumba yako nadhifu bila kutumia nguvu nyingi .
Mawasiliano zaidi dedabo77@hotmail.com.